Friday, June 27, 2014

HILI NDILO VAZI ATAKALO VAA DIAMOND TUZO ZA BET JUMAMOSI HII


Vazi jipya la msanii Diamond.
Vazi jipya la msanii Diamond.
Tuzo za BET Awards zinatarajia kuafanyika siku ya jumamosi tarehe juni 28 mwaka huu. Msanii Diamond anawania kipengele cha Best African Act.
Hii ni sehemu ya vazi atakalo livaa siku ya fainali tuzo za BET nchini Marekani. Vazi hilo limetengenezwa na Sheria Ngowi.

SHETTA FT. DIAMOND ” KEREWA” INAYOFANYIKA AFRIKA KUSINI LEO

Shetta ni msanii mwingine wa Tanzania ambaye ameanza kuliwinda soko la kimataifa na hatua ya kwanza katika mpango huo aliamua kushoot video yake ya wimbo wake KEREWA nchini Afrika kusini na mwongozaji godfather ambaye tayari ana historia ya kufanya kazi na wasanii wakubwa wa afrika wakiwemo P- Square, Davido na wengine.koko

Amesema kuwa habari njema ni kuwa video hiyo ambayo audio yake kamshirikisha rafiki yake wa mdua mrufu Nasib Abdul kaka Diamond.
Songi hilo linatarajiwa kuachiwa leo huku Video ikipangwa kufanyika Cape Town Afrika kusini na imegaramiwa kati ya shilingi milioni 20 hadi 25 za Tanzania.